TOBA NA MSAMAHA.
(Huu ni mwendelezo
wa lile somo tulilojifunza mwazoni la msamaha,sasa hili ni la toba ).
Mpendwa wanadamu wengi nyakati hizi wanaishi katika hali ya maumivu mengi sana. leo nataka tujifunze kwa ufupi juu ya TOBA NA MSAMAHA vina wezaje kubadiri maisha ya mtu yaliyo jaa majonzi .
KWA KAWAIDA WANADAMU TUNAISHI KATIKA MAZINGIRA YA UOVU ULIO
KITHIRI KATIKA DUNIA HII NA HII NI KWASABABU DHAMBI NI TAMU LAKINI MATOKEO YAKE
NI UCHUNGU UHARIBIFU MAJONZI NA MAHANGAIKO .
(
mwanz 3;1-19 )ukisoma maeneo haya uta shuhudia namna dhambi ilivyo tendwa na
Adamu na mkewe Hawa walifurahia uzuri wa lile tunda lakini matokeo yake
wakajitenga na uso wa Bwana wakapata majonzi mawazo na mashaka juu ya uovu
walioutenda na baada ya pale vizazi vingi vikaishi katika uovu na namna yoyote
ya upatanisho iliyo fanyika haikuweza kuridhishwa na Mungu milele .Ndiposa mtu
mmoja ilipaswa kujitoa kwaajili ya kumkomboa mwanadamu na dhambi zake maana
mwanadamu alikuwa amejitenga kwakiasi kikubwa na Mungu wake ndiyo maana anapata
shida hatakumwona Mungu wake katika maisha yake.sasa nasi leo tunaanza na maana
ya maneno haya mawili TOBA NA MSAMAHA
TOBA
(repentance) Hii ni hali ya kujutia makosa yako kutoka ndani ya moyo wako au
kutoka katika vilindi vya moyo wako kwa kukusudia kuacha uovu huo kwakugeuka kutoka katika utendaji ule wa kiovu ,ambayo ita badirisha au itapelekea maisha
yako ya kiroho na kimwili kubadirika ,HII NI YA MTU BINAFSI NDANI YA MOYO WAKE
na KUMBUKA HAUWEZI KUFANYA TOBA PASIPO UOVU ULIOPO (DHAMBI) je dhambi ninini?
Nikwenda kinyume na utaratibi uliowekwa au ni kuvunja utaratibu fulani kwa
kujua au kutojua (KOSA) Mungu aliweka utaratibi wa namna ya kuishi utaratibu
ambao hauta muudhi mwanadamu yeyote au Mungu mwenyewe maana husababisha kutokuwa
na amani kuu (PARADISO) kwamfano; Mungu alisema usiue lakini wewe ukiua
inamaana utakuwa kinyume na utaratibu na matokeo yake utakuwa mtu wa mahangaiko
pasipo amani (mwanzo 4;8-15),mtuanaweza kuua kwelengo zuri la kuboresha maisha
yake (KUUA KICHAWI ) Lakini hatakama analengo zuri (katika macho ya
kibinadamu),kwakuwa yupokinyume na sheria iliyowekwa tena sio ya mwanadamu bali
nisheria yaMungu mtuhuyu hatakuwa na amani kwakuwa ile damu inamfuatilia katika
ilimwengu wa roho yeye pasipo kujua ndio maana utakuta mtu anaota ndoto mbaya ana
mwona yule mtu aliye mwuua hatakama alikuwa mtotodogo akiwa tumboni utakuta anamtokea
au wanamtokea ndotoni au mtuhuyu anaweza hata kupagawa nawengine utakuta
wanaishi maisha kama vilemazuri lakini hatakama ni tajiri lakini hana amani
hata mbali na utajiri wake akili hata
haitulii ,kumbe ni matokeo ya uovu (umwagaji wa damu isiyo na hatia.
(endelea Soma katika roho na kweli)
Mpendwa kuua kupo kwa namna nyingi wenda kwa upanga
.kuloga kuua kwa maneno yaani kusema maneno yanayo leta maumivu ndani ya mtu na
akafa kimwili au kiroho .dhambi au makosa mengine ni kama vile wizi.ulevi
uzinzi.urafi.kuwaza mabaya kupenda kuona mabaya uongo uchawi hasira na nyingine
nyingi
.
MPENDWA IKIWA UMETENDA KOSA DAWA YAKE NI TOBA NA SIO KUVUNJA DAWA YA DHAMBI NI TOBA YA NDANI NA MUNGU YUKO TAYARI KUSAHEHE WAKATI MTU AMEKUSUDIA KUACHANA NA UOVU WAKE NA KUYAANZA MAISHA MAPYA , KUTOKANA NA TOBA HIYO YALE YOTE YALIYO MPATA KUTOKANA NA DHAMBI HUONDOKA KWAKUWA HAYANA KIBALI TENA CHA KUMWANDAMA
.
MPENDWA IKIWA UMETENDA KOSA DAWA YAKE NI TOBA NA SIO KUVUNJA DAWA YA DHAMBI NI TOBA YA NDANI NA MUNGU YUKO TAYARI KUSAHEHE WAKATI MTU AMEKUSUDIA KUACHANA NA UOVU WAKE NA KUYAANZA MAISHA MAPYA , KUTOKANA NA TOBA HIYO YALE YOTE YALIYO MPATA KUTOKANA NA DHAMBI HUONDOKA KWAKUWA HAYANA KIBALI TENA CHA KUMWANDAMA
Karibu mpendwa jibu ni yesu pekee zaidi yake hapana mwangine
damu yake inanena mema kuzidi unavyo isikia na kuielewa damu hiyo imeambatana
na mema mengi juu yako na lengo kuu la damu hiyo ni kufanya ukombozi wawanadamu
wote na dhambi zao kwa kila kabira na rangi zao Yesu yu karibu nawe umemuuthi
yatosha chukua uamuzi wa kurudi kwake nuia moyoni kutubu ukifikiri juu ya
utajiri wako kwakuwa ulipata kwanjia isiyo halani na ukaendelea hivyo maandiko
yanasema haujui mudawako au saa yako iliyo pagwa kuachana na dunia
.
SEMA MANENO HAYA KWA IMANI TARATIBU KWA TAFAKARI YA MOYONI. MUNGU BABA NINAKUJA MBELE ZAKO MIMI NI MWENYE DHAMBI KWA DAMU YA YESU NAKUOMBA UNISAMEHE NA KUNIONDOLEA HATIA HII YA DHAMBI INIFUATIAYO MAISHANI MWANGU KWA DAMU YA YESU NISAMEHEWE UOVU HUU MKUBWA([waweza taja kimya kimya uovuwako hukuuki nuia kuuacha
.
SEMA MANENO HAYA KWA IMANI TARATIBU KWA TAFAKARI YA MOYONI. MUNGU BABA NINAKUJA MBELE ZAKO MIMI NI MWENYE DHAMBI KWA DAMU YA YESU NAKUOMBA UNISAMEHE NA KUNIONDOLEA HATIA HII YA DHAMBI INIFUATIAYO MAISHANI MWANGU KWA DAMU YA YESU NISAMEHEWE UOVU HUU MKUBWA([waweza taja kimya kimya uovuwako hukuuki nuia kuuacha
)
KWA DAMUYAKO BWANA YESU ILIYO MWAGIKA PALE KARIVALI ASANTE BWANA WANGU KWA REHEMA ZAKO NIWEZESHE KUTEMBEA SAWASAWA NA MAPENZI YAKO AMINA .
KWA DAMUYAKO BWANA YESU ILIYO MWAGIKA PALE KARIVALI ASANTE BWANA WANGU KWA REHEMA ZAKO NIWEZESHE KUTEMBEA SAWASAWA NA MAPENZI YAKO AMINA .
Baada ya kuamua kutubu kutoka moyoni ndiposa mtu anaongozwa
sala ya toba(sala ya maungamo) kwakumuwekea mikono kama vile Anania alivyo
fanya kwaSauli,ingawa Mungu alikuwa anaweza kumaliza kila kitu pale njiani
lakini kwakuwa maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu kwasababu amewachagua
wanadamu kama makuhani wanao fanya kazi
yake kama walivyo agizwa na BwanaYesu mwanaye,hapa hawa watumishi wanalo jukumu
la kuwasaidia kukiri maneno ya kuutubia ule uovu (kuungama),kwahiyo hapa
atakaye kuwa anaungama yaani kuhalalisha kosa alilo tenda ili aombewe akiongozwa
na mtumishi wa Mungu kama alivyo saidiwa Sauli na Anania(mdo 9;1-17)
Hii ni namna fulani tu ya kujionesha kwa makuhani ambayo inampa
mtu huyu ushirika na jumuhia ya Mungu ili asitengwe kwani kuhani ameshuhudia
nia yake ya toba na kumpa ushauri na kumsaidia hata kimaombi kwa maana kazi ya
kuhani ni kupeleka mbele za Mungu shida za watu,ingawa pazia lili pasuka na
kutoa ruhusa ya kila mwanadamu kuwa na uwezo wa kwenda moja kwa moja kwa Mungu na kusema shida yako,Lakini
bado Mungu anaendelea kutumia watumishi
wake kwaajili ya kuwatoa magamba katika macho yao wale wasioona ambao hata
hawawezi kusegea mbele ya kiti cha rehema kwaujasiri ,mtumishi wa Mungu
anamsaidia kumuunganisha roho yake na Mungu ,yaani anamsaidia kutambua na
kukiri kosa ili kutubu kutubu ni kazi ya
aliye tenda dhambi bali kuungama kuhani anaweza kuhusika iliwaweze kumjua vema
na kuunganika vema na Mungu kwa maombi ya kuhani na maongozi yake, kwani mtu anaweza kuwa
amechakaa sana kiroho na hawezi hata kujua afanye nini ili Mungu amsaidie (Isaya 43;8),ndipo mtumishi anasimama
kwaajili ya kumsaidia ,ingawa kuhani mkuu ni Yesu mwenyewe lakini kwakuwa Mungu
alitambua kuwa kutakuwa na wengine ni viziwi na vipofu kiroho wanao hitaji
msaada wa kutolewa magamba,kupitia kuwekewa mikono,sauli alipo anguka bale
barabarani Mungu Alisha kamilisha msamaha,lakini ilitakiwa apatikane kuhani ili
atoe malipizi,ambaye alikuwa Anania
Ndio maana utakuta mtumishi wa Mungu ana mwombea sala ya
maungamo ilikukamilisha toba aliyoifanya moyoni kwa mtu aliye tayari kurudi kwa Yesu ,kitendokile
cha kutubia maovu yake tena mbele za watu wengi au mmoja kina saidia kufifisha uwezo wa dhambi na kuona
aibu kuitenda tena kwa kuwa mtu anakuwa
anajiweka wazi kisha anakuwa huru nafsini mwake ,lakini kitu cha kwanza lazima
mtu atubie uovu wake moyoni mwake ,kwani hatakama mtumishi wa Mungu atamsaidia
lakini ndani ya mtu huyo kama hakuna mzigo wa kutubia uovu wake nisawa na bure,na
hatakama mtu akasema nimetubu dhambi zangu lakini hakwenda kutolewa magamba kupitia
kuhani ambaye Mungu anamtumia,mpendwa kamahili
halina umuhimu basi Anania asinge takiwa kuonana na Sauli kwaajili ja kujieleza
shida yake eti kwasababu Alisha kutana na Yesu pale njiani .
Ndio maana kuna makanisa mengine yana shutumiwa kuwa kwanini
watu wana tubu dhambi zao kwa mwanadamu ,ikiwa kuna watu au makanisa yanayo
fanya hivi bila kuzingatia maana ya toba na kuungama basi waumini wote wa kanisa hilo watakuwa na magambamachini mwao ,
ingawa kuna makanisa mengine yanaonewa kwakuhusishwa kwenye suala la kutubu kwa
kuhani jambo ambalosio kweli maana watu
wengi wana shindwa kutofautisha kati ya toba na kuungama ,mpendwa toba
inafanyika rohoni mwamtu lakini kuungama ndio ile mchungaji anamsaidia kumpamwongozo
juu ya uovu alio utenda na Msamaha wa Mungu
ndani ya mtu au mtu anapo kwenda
kwa padiri ina maanisha mtu anakwenda kuungama (kujionesha kwa kuhani kwamba
amerudi kundini na kazi ya kuhani maana yake anampa malipizi sawa sawa na Roho
mtakatifu anavyo mwongoza .na kumwonya ili aianze safari upya.barikiwa
( lakini usiache kwenda kanisani kujumuika na wenzako
wampendao Mungu katika jina la Yesu .Amina
E.mkinga
2 comments
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159 dawnacuna314@gmail.com
Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.
Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.
Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
Hirizi za mvuto
Kutatua migogoro ya ardhi na mali
Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com
EmoticonEmoticon